Article

Article – MBS Trinity Care

KUJIFUNZA KUACHILIA: NJIA YA KUJIPONYA AKILI NA KUMBUKUMBU MBAYA

By Sylvia Mtenga Katika safari ya maisha, mara nyingi tunakutana na changamoto, maumivu, na kumbukumbu ambazo zinaweza kutuzuia kuishi kwa amani na furaha. Kujifunza kuachilia ni mojawapo ya njia muhimu za kujiponya kiakili na kimaisha. Ni mchakato wa kuuachia mzigo wa hisia hasi, majuto, na hali za zamani ambazo zinaweza kuwa zinatuzuia kufikia hali ya […]

KUJIFUNZA KUACHILIA: NJIA YA KUJIPONYA AKILI NA KUMBUKUMBU MBAYA Read Post »

KITOVU CHA UTALII TANZANIA

By Jamal H. Maherea Arusha ni mojawapo ya maeneo ya kipekee barani Afrika ambayo yamebarikiwa kuwa na vivutio vya kipekee vya utalii, ikiwemo hifadhi za wanyamapori, milima yenye mandhari nzuri, na tamaduni tajiri za wenyeji. Arusha ni mji unaounganisha urithi wa asili na utajiri wa utamaduni, na hivyo kuifanya kuwa kivutio muhimu kwa wale wanaotafuta

KITOVU CHA UTALII TANZANIA Read Post »

FAHAMU MAANA, CHANZO, FAIDA NA HASARA ZA UTANDAWAZI KWA KIJANA KATIKA SHUGHULI ZAKE

By Debora K. Mwangosi Maana ya utandawazi. Utandawazi ni neno linalorejelea mchakato wa kuunganishwa kwa mataifa, tamaduni, na uchumi kupitia mtandao wa teknolojia, biashara, na mawasiliano. Ni hali ambapo mipaka ya kimataifa inakuwa dhaifu ambapo watu, bidhaa, na mawazo yanaweza kusafiri kwa urahisi zaidi kati ya nchi tofauti. Utandawazi unahusishwa na ongezeko la biashara ya

FAHAMU MAANA, CHANZO, FAIDA NA HASARA ZA UTANDAWAZI KWA KIJANA KATIKA SHUGHULI ZAKE Read Post »

Sifa 10 za mbuni zinazomtofautisha na ndege wengine

By Nasibu Mahinya Ukimshangaa mbuni asiyepaa utamstaajabu ngwini (pengwini); samaki asiyepaa mwenye uwezo wa kuogelea. Kawaida ukimkuta mbuni ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro anavyovimba akiwa amejichanganya na pundamilia na nyumbu, wakitafuta malisho unaweza kusahau kuwa huyu ni ndege. Watu wengi wamekuwa wakimuona mbuni kama ndege wa kipekee na wa tofauti basi kama unaisoma

Sifa 10 za mbuni zinazomtofautisha na ndege wengine Read Post »

ISHI MAJIBU YA MASWALI HAYA

By Sylvia Mtenga Maswali ya kujiuliza ili kufahamu ukweli kuhusu maisha tunayoishi na yale tunayoyatamani yanaweza kukusaidia kupata uwazi, kuelewa malengo yako, na kubaini vikwazo vinavyoweza kuwepo. Haya ni baadhi ya maswali muhimu ya kujiuliza: Maswali haya yanaweza kusaidia kufungua ufahamu na kukufanya utafakari kwa undani kuhusu mwelekeo wa maisha yako, kuweka vipaumbele, na kuona

ISHI MAJIBU YA MASWALI HAYA Read Post »

WHY IS IT HARD TO ACCEPT YOURSELF?

By Jamal H. Maherea Accepting yourself means embracing who you are, your strengths, weaknesses, flaws, and all—without judgment or the need to conform to others’ expectations. It involves recognizing and being at peace with your true self, including your emotions, thoughts, values, and experiences, while understanding that you’re always evolving and growing. Accepting yourself can

WHY IS IT HARD TO ACCEPT YOURSELF? Read Post »

Fisi: Mnyama wa ajabu kuliko tunavyodhani

By Nasibu Mahinya Inajulikana kwamba fisi akishika windo lake haachi kitu, anakula kuanzia kichwa hadi kwato. Dah! Hongera zake kwa kweli, maana mimi kila nikiwaza ng’ombe anapochinjwa kuna viungo vyake vingi huwa havifiki mezani. Fisi amethibiti upotevu usiyo na tija, wazungu wanaita ‘total diet.’ Hata asiyemjua fisi atakuambia jinsi mnyama huyo alivyopewa sifa ya kula kwenye

Fisi: Mnyama wa ajabu kuliko tunavyodhani Read Post »

Who Are You?

By Chitegetse A. Minanago Who are you, really? Halt, pause for some minutes to think with me. Let us walk into some mind juggling questions that seeks to unleash an answer to the true nature of self. Which make me wonder to begin with, is it the quest to self-discovery or, one’s identity? Stay with

Who Are You? Read Post »

Kusherehekea Uhai Kila Siku

By Maureen C. Minanago Tambua Njia za Kuishi kwa Furaha na Shukrani Kusherehekea uhai si jambo linalohusiana tu na matukio makubwa kama sherehe za kuzaliwa au mafanikio makubwa. Ni mchakato wa kila siku, wa kugundua uzuri na maana katika maisha yetu ya kawaida. Katika ulimwengu wa leo wenye msongo mwingi wa mawazo, kazi nyingi, na

Kusherehekea Uhai Kila Siku Read Post »

MANIFESTATION ama UDHIHIRISHO ni nini?

By Sylvia Mtenga Katika falsafa za kisasa za kiroho na maendeleo binafsi, manifestation ama udhihirisho unahusishwa  na nadharia kwamba mawazo yetu yana nguvu ya kuathiri hali halisi. Hii inamaanisha kwamba kile tunachokifikiria na kukihisi mara nyingi kinaweza kugeuka kuwa uhalisia wetu. Ikiwa unalenga kwenye fikra chanya na kujenga picha nzuri kuhusu maisha yako, unaweza kuvutia

MANIFESTATION ama UDHIHIRISHO ni nini? Read Post »

Scroll to Top