KUJIFUNZA KUACHILIA: NJIA YA KUJIPONYA AKILI NA KUMBUKUMBU MBAYA
By Sylvia Mtenga Katika safari ya maisha, mara nyingi tunakutana na changamoto, maumivu, na kumbukumbu ambazo zinaweza kutuzuia kuishi kwa amani na furaha. Kujifunza kuachilia ni mojawapo ya njia muhimu za kujiponya kiakili na kimaisha. Ni mchakato wa kuuachia mzigo wa hisia hasi, majuto, na hali za zamani ambazo zinaweza kuwa zinatuzuia kufikia hali ya […]
KUJIFUNZA KUACHILIA: NJIA YA KUJIPONYA AKILI NA KUMBUKUMBU MBAYA Read Post »