Article

Article – MBS Trinity Care

Papa: Samaki Bubu Asiyelala

By Nasibu Mahinya Hakuna kiumbe anaogopeka majini kama Papa! Anapotajwa papa, vitu viwili huja akilini mwa wengi; maji na damu. Binafsi nilikuwa mmoja kati ya watu wanaoamini kwamba binadamu akikutana na papa basi amekwisha!  Cha kushangaza zaidi ni kwamba hakuna uthibitisho kuwa papa huwinda binadamu lakini humshambulia pale anapoingilia himaya yake; papa hudata na kuchanganyikiwa. […]

Papa: Samaki Bubu Asiyelala Read Post »

ESSENTIAL TIPS FOR A BALANCED LIFESTYLE

By Maureen C. Minanago Maintaining a healthy body is fundamental to leading a fulfilling and energetic life. It encompasses not just physical fitness but also a balanced approach to nutrition, mental well-being, and overall lifestyle. Here’s a guide to help you achieve and sustain optimal health through practical and achievable steps. 1. Balanced Nutrition A

ESSENTIAL TIPS FOR A BALANCED LIFESTYLE Read Post »

JINSI YA KUPATA AMANI YA NDANI KWA KUFANYA TAHAJUDI

By Sylvia Mtenga Tahajudi, inayojulikana pia kama kutafakari, ni zoezi la kiroho na kisaikolojia ambalo limekuwepo kwa maelfu ya miaka katika tamaduni mbalimbali duniani. Zoezi hili linahusisha kumakinika, kuzingatia, na kufikiri kwa kina juu ya hali ya ndani ya nafsi. Katika makala hii, tutachunguza maana ya tahajudi, historia yake, faida zake, na jinsi inavyoweza kuleta mabadiliko

JINSI YA KUPATA AMANI YA NDANI KWA KUFANYA TAHAJUDI Read Post »

MAZOEZI SI HAKIKA YA AFYA NJEMA

By Maureen C. Minanago Mazoezi ni muhimu kwa kukuweka mwenye nguvu muda wote lakini maisha unavyoyaishi pia yanachangia katika kukufanya mwenye furaha, mchangamfu na mwenye afya njema. Dr. Denis Nturibi anasema kuna vitu vitatu ambavyo binadamu wote tunapaswa kuvifuata ili kuwa na afya njema. Mazoezi ni sahihi kuyafanya lakini muundo wa maisha (lifestyle) yetu unamchango

MAZOEZI SI HAKIKA YA AFYA NJEMA Read Post »

Tumbo la kuhara

By Maureen C. Minanago HUDUMA YA KWANZA Ni matumaini yangu hakuna mtu ambaye hajawahi kuumwa tumbo hata siku moja toka azaliwe. Lakini leo naongelea kuvurugwa kwa tumbo. Yawezekana ukawa umepata chakula mchnaganyiko ama vinywaji tofauti ambavyo vikasababisha kuvurugika kwa tumbo. Inawezekana ukawa umetoka sehemu moja kwenda nyingine yaani kubadilika kwa mazingira, hivyo kuhisi umevurugika tumbo. Lakini

Tumbo la kuhara Read Post »

Feasting to Fishing

By Justin Mwita David “A Mindset transformation journey for African youth, shifting from Dependency to Self-Sufficiency” Africa has the youngest population in the world, with over 400 million young people aged between 15 to 35 years. This demographic presents both challenges and opportunities.  The majority of African youth are caught in a dilemma that is both complex and

Feasting to Fishing Read Post »

EMPOWERING SECONDARY SCHOOL GIRLS IN DODOMA REGION THROUGH SANITARY PAD DISTRIBUTION

By Happiness Silivester Masatu Empowering secondary school girls in Dodoma Region through sanitary pad distribution is a crucial initiative aimed at addressing menstrual hygiene management (MHM) challenges and promoting girls’ education. Menstrual hygiene remains a significant barrier to girls’ education in many parts of the world, including Dodoma Region, where access to sanitary pads is limited,

EMPOWERING SECONDARY SCHOOL GIRLS IN DODOMA REGION THROUGH SANITARY PAD DISTRIBUTION Read Post »

“Watu wenye ulemavu wanahaki ya usawa na kuheshimiwa”.

By Maureen C. Minanago Kuna ulemavu wa aina mbali mbali. Machache yajulikanayo ni kushindwa kutembea kushindwa kutumia mikono, kutoona vizuri ama kutoona kabisa, ulimi kuwa mzito hivyo kushindwa kuongea, kutosikia (kiziwi), mifupa kujikunja na kusababisha matege pamoja na kukosa melanin itengenezayo rangi ya ngozi (albino). Watu wenye ulemavu wanapaswa kujijali pia, wanapaswa kupata lishe iliyo bora

“Watu wenye ulemavu wanahaki ya usawa na kuheshimiwa”. Read Post »

AFYA ni nini?

By Maureen C. Minanago Afya ni hali ya kutokuwa na ugonjwa au kidonda. Afya ni hali ya kuwa na amani ya roho. Afya ni ubora wa akili, mwili na nafsi. Afya hutegemea vitu hivi vitatu ili kuwa hai na salama: Akili, Mwili, Nafsi. Akili ni utashi tuliopewa na Mwenyezi Mungu katika kung’amua mambo ulimwenguni. Akili hujumuisha

AFYA ni nini? Read Post »

Scroll to Top