KUJITAMBUA NI HATUA YA KWANZA YA MAENDELEO YA AKILI, MWILI NA NAFSI
By Maureen Minanago Kujitambua ni uwezo wa mtu kuelewa hali zake za ndani; fikra, hisia, mihemko, maadili na mienendo. Hili ni jambo la msingi ambalo linamuwezesha mtu kuishi kwa makusudi, kufanya maamuzi sahihi, na kujenga maisha yenye mizani kati ya akili, mwili, na nafsi. 1. Kiakili: Kujitambua huchochea fikra chanya na kuongeza uwezo wa mtu […]
KUJITAMBUA NI HATUA YA KWANZA YA MAENDELEO YA AKILI, MWILI NA NAFSI Read Post »