Mind

Mind – MBS Trinity Care

KUJITAMBUA NI HATUA YA KWANZA YA MAENDELEO YA AKILI, MWILI NA NAFSI

By Maureen Minanago Kujitambua ni uwezo wa mtu kuelewa hali zake za ndani; fikra, hisia, mihemko, maadili na mienendo. Hili ni jambo la msingi ambalo linamuwezesha mtu kuishi kwa makusudi, kufanya maamuzi sahihi, na kujenga maisha yenye mizani kati ya akili, mwili, na nafsi. 1. Kiakili: Kujitambua huchochea fikra chanya na kuongeza uwezo wa mtu […]

KUJITAMBUA NI HATUA YA KWANZA YA MAENDELEO YA AKILI, MWILI NA NAFSI Read Post »

UONEVU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII

By Sylvia Mtenga Uonevu kwenye mitandao ya kijamii ni tatizo linalozidi kuongezeka, ambapo watu hutumia majukwaa ya kidijitali kama vile Facebook, WhatsApp, Instagram, na Twitter kudhalilisha, kutishia, au kunyanyasa wengine. Uonevu huu unaweza kuwa wa maneno, picha, video, au hata kueneza taarifa za uongo kuhusu mtu. SABABU ZINAZOCHANGIA UONEVU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII 1..Kutokujulikana (Anonymity)

UONEVU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII Read Post »

Faida za Kukaa Katika Mazingira Safi

By Sylvia Mtenga FAIDA ZA KUKAA KATIKA MAZINGIRA SAFI Kukaa na mazingira safi kuna faida nyingi kwa afya na ustawi wa mwili. Hapa ni baadhi ya faida kuu: 1. Kuzuia Magonjwa Mazingira safi hupunguza uwezekano wa maambukizi ya magonjwa kama vile kipindupindu, malaria, homa ya matumbo, na mafua. Uchafu huvutia wadudu na vimelea vinavyosababisha magonjwa,

Faida za Kukaa Katika Mazingira Safi Read Post »

Namna ya kuzishinda changamoto za kimaisha mbstrinirtycare

SUBIRA NA UVUMILIVU KATIKA KUSHINDA CHANGAMOTO

By James Manjeche Maisha ni safari ndefu ambayo hujumuisha mchanganyiko wa furaha, huzuni, mafanikio, na changamoto. Hatuwezi kukwepa changamoto katika maisha, lakini tunapojua jinsi ya kukabiliana nazo, tunapata nguvu ya kuendelea mbele. Ikiwa unapitia kipindi kigumu sasa, tafadhali jua kwamba si wewe peke yako. Watu wengi wameshajitahidi kwa njia ngumu na wameweza kushinda. Kama vile

SUBIRA NA UVUMILIVU KATIKA KUSHINDA CHANGAMOTO Read Post »

YOU AGAINST WORLD mbstrinitycare

YOU AGAINST WORLD: The Battle for Your Identity and Purpose

By Jamal Maherea In a world that constantly demands conformity, standing firm in your identity and purpose can feel like an uphill battle. Society has a way of shaping expectations, dictating norms, and pressuring individuals to fit into predefined roles. The challenge is real: YOU AGAINST THE WORLD.  THE WORLD’S EXPECTATIONS  From an early age,

YOU AGAINST WORLD: The Battle for Your Identity and Purpose Read Post »

Uzuri wa mazingira yetu mbstrinitycare

UZURI KATIKA MAZINGIRA YANAYOTUZUNGUKA

By Maureen C. Minanago Katika harakati za maisha ya kila siku, mara nyingi tunasahau kutazama na kuthamini uzuri wa mazingira yanayotuzunguka. Tunaishi kwa haraka, tukikimbizana na malengo, changamoto, na majukumu ya kila siku, kiasi kwamba hatupati muda wa kufurahia uzuri uliopo karibu nasi. Lakini ukweli ni kwamba, ulimwengu umejaa uzuri wa ajabu; tunachohitaji ni kubadilisha

UZURI KATIKA MAZINGIRA YANAYOTUZUNGUKA Read Post »

Wema ni mkuu mbstrinitycare

WEMA NI MKUU

By Maureen C. Minanago. Wema ni tabia njema inayodhihirisha moyo wa upendo, huruma, na utu kwa wengine. Ni hali ya kuwa mwema kwa maneno na matendo, kuonyesha fadhila na kusaidia wengine bila kutarajia malipo. Kutenda wema ni vitendo vyenye nia njema vinavyolenga kuleta faraja, furaha, na maendeleo kwa mtu binafsi au jamii kwa ujumla. Namnukuhu

WEMA NI MKUU Read Post »

THE STORMS IN LIFE mbstrinitycare

THE STORMS IN LIFE

By Justin M. David “Faith anchors us when life’s waves threaten to overwhelm.” Have you ever felt overwhelmed by the storms of life, where every wave seems to threaten your very existence? The journey of life through a relentless storm and eventual shipwreck is a powerful reminder of God’s presence and promises. As we go

THE STORMS IN LIFE Read Post »

Scroll to Top