Kwanini penye mbuyu pana uhai?
By Nasibu Mahinya Mbuyu ni mmea unaobeba kumbukumbu nyingi sana za maisha yetu ya utotoni. Shule ya msingi niliyosoma ilikuwa na mbuyu katikati ya eneo ambalo limezungukwa na majengo ya madarasa. Tukishaangalia filamu za kutisha na tukishaanza kusimuliana hadithi hizo kuhusu mti huu, hatimaye nikatokea kuuogopa na kuanza kupita mbali na nao. Wengi walikuwa wakihadithiana […]
Kwanini penye mbuyu pana uhai? Read Post »