Papa: Samaki Bubu Asiyelala
By Nasibu Mahinya Hakuna kiumbe anaogopeka majini kama Papa! Anapotajwa papa, vitu viwili huja akilini mwa wengi; maji na damu. Binafsi nilikuwa mmoja kati ya watu wanaoamini kwamba binadamu akikutana na papa basi amekwisha! Cha kushangaza zaidi ni kwamba hakuna uthibitisho kuwa papa huwinda binadamu lakini humshambulia pale anapoingilia himaya yake; papa hudata na kuchanganyikiwa. […]
Papa: Samaki Bubu Asiyelala Read Post »