Soul

Soul – MBS Trinity Care

MANIFESTATION ama UDHIHIRISHO ni nini?

By Sylvia Mtenga Katika falsafa za kisasa za kiroho na maendeleo binafsi, manifestation ama udhihirisho unahusishwa  na nadharia kwamba mawazo yetu yana nguvu ya kuathiri hali halisi. Hii inamaanisha kwamba kile tunachokifikiria na kukihisi mara nyingi kinaweza kugeuka kuwa uhalisia wetu. Ikiwa unalenga kwenye fikra chanya na kujenga picha nzuri kuhusu maisha yako, unaweza kuvutia […]

MANIFESTATION ama UDHIHIRISHO ni nini? Read Post »

JINSI YA KUPATA AMANI YA NDANI KWA KUFANYA TAHAJUDI

By Sylvia Mtenga Tahajudi, inayojulikana pia kama kutafakari, ni zoezi la kiroho na kisaikolojia ambalo limekuwepo kwa maelfu ya miaka katika tamaduni mbalimbali duniani. Zoezi hili linahusisha kumakinika, kuzingatia, na kufikiri kwa kina juu ya hali ya ndani ya nafsi. Katika makala hii, tutachunguza maana ya tahajudi, historia yake, faida zake, na jinsi inavyoweza kuleta mabadiliko

JINSI YA KUPATA AMANI YA NDANI KWA KUFANYA TAHAJUDI Read Post »

AFYA ni nini?

By Maureen C. Minanago Afya ni hali ya kutokuwa na ugonjwa au kidonda. Afya ni hali ya kuwa na amani ya roho. Afya ni ubora wa akili, mwili na nafsi. Afya hutegemea vitu hivi vitatu ili kuwa hai na salama: Akili, Mwili, Nafsi. Akili ni utashi tuliopewa na Mwenyezi Mungu katika kung’amua mambo ulimwenguni. Akili hujumuisha

AFYA ni nini? Read Post »

Moyo wa Binadamu

By Maureen C. Minanago Je, unaufahamu kuwa kila mwanadamu anapumua kwa msaada wa moyo? Na je, unafahamu kuwa moyo huo huo unaweza kumfanya mtu kuwa na furaha ama huzuni? Hii ni alama ambayo wengi huitumia kuashiria moyo na moyo huo basi unatumika kama ishara ya upendo. Moyo ni pampu inayosukuma damu kupitia mishipa ya damu.

Moyo wa Binadamu Read Post »

Wewe ni wa Thamani

By Maureen C. Minanago Wewe ni wa Thamani!!! Jifunze umuhimu wako wewe kama binadamu kama utazingatia afya bora kwako na kwa mwenzako. Kula chakula chenye lishe na kufanya mazoezi ni changamoto kwa wengi hasa ukizingatia mfumo wa maisha kwa wengi hivi sasa. Lakini, ni afya njema tu itakayokupa nguvu ya kufanya yaliyo mazito na wepesi

Wewe ni wa Thamani Read Post »

Scroll to Top